Home » »

Vodacom yaanza majaribio matumizi ya Teknolojia ya LTE  ,Wateja maeneo ya Msasani kuanza kunufaika:
Wateja wa Vodacom sasa wanauwezo wa kutumia teknolojia ya Long Term Evolution - LTE ambayo ni ya kisasa zaidi ulimwenguni katika utoaji wa huduma za Mawasiliano na hivyo kupunguza gharama katika kuwasiliana kufuatia kampuni hiyo kwa kushirikiana na Kampuni ya Nokia Siemens kuwawezesha wateja wake kufanya hivyo katika mradi wa majaribio unaohusisha eneo la Msasani jijini Dar es salaam.

                                                                                                           
Pichani Mkuu wa Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Kelvin Twissa akifafanua jambo wakati wa uzinduzi wa matumizi ya teknolojia ya Long Term Evolution - LTE leo jijini Dar es salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza na kushoto ni Mtaalamu kutoka Nokia Siemen Surender Surana. Vodacom imezindua matumizi ya LTE kwa majaribio katika eneo la Msasani jijini Dar es salaam.

LANGUAGE OPTION

POPULAR POSTS

LIVE ON TWITTER

MOBILE INNOVATION

 
Support : Twitter | Facebook | Mail
Copyright © 2014. MOBILE KWETU - All Rights Reserved
Designed by Mobilekwetu. | Powered by Mobilekwetu